Nani KAKWAMBIA kuwa kocha kamkatia tamaa Mukwala ?? Acheni porojo zisizo za msingi , kocha yoyote kwenye timu huitaji wachezaji angalau wawili wanaoweza mu offer kitu anachoitaji sasa pale Simba ukimtoa Mukwala hakuna striker yoyote yule mwenye forcing sprit , kwahyo lengo kuu la kocha ni kutaka...
Anahoja inabidi asikilizwe
Asilimia kubwa za wanawake walioko kwenye ndoa hujikumbushia penzi na wale waliowatoa bikra zao ujanani mwao endapo tu walitengana Kwa wema .
Kwahili umewasingizia , asilimia kubwa Binti wa kikurya kwenye ndoa ni mwaminifu sana na kuhusu ushirikina pia sio kweli , nimekaa na jamii hii Nina experience nayo .
Acha ubishi chief penaty Imeingia wavuni ni vile nyavu zimemtatiza refa Hadi pale alipokuja rekebishwa na kibendera wake maana yeye ndo alikua angle nzuri yakuona tukio Zima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.