Wamepotea kwenye uso wa dunia yetu; lakini roho / nafsi zao bado zinaishi na zitaishi milele. Mwanadamu ana maisha ya milele; ajapokufa kimwili, roho/ nafsinyake vitaendelea kuishi, maana roho ni pumzi ya Mungu.
Ndio maana Mindray na mimi tutakapokufa na miili yetu ikaonekana, hatimae miili yetu...
Kweli; uamuzi ni wao, kama wanaona muungano hauna manufaa wafanye mchakato wa kisiasa na kisheria wajitoe kwa amani kabisa; hakuna sababu ya kugombana, tutabaki kuwa majirani daima maana Tanganyika na Zanzibar hazitahama hapo zilipo; tutaendelea kutembeleana, kuoana, kufanya biashara; kila nchi...
Rais aliyetoka pwani ni wa awamu ya nne pekee, Mhe. Jakaya.
Awamu ya kwanza, Nyerere alitoka Mara; Mwinyi Zanzibar; Mkapa Mtwara; JPM Geita.
Mawaziri wakuu wanne wametoka Kaskazini:-
Sokoine, Msuya, Sumaye na Lowassa.
Enzi Mtume Muhammad (SAW) palikuwa na dawa za kulevya na akawaelekeza (kuwaamrisha) wafuasi wake kuwaadhibu wahusika kwa kuwanyonga?
Au sheria hiyo imewekwa tu wanaadamu?
Yapo mambo ya msingi wanayoweza kuyasimamia na kuyatetea ambayo yanaweza kukubalika miongoni mwa jamii; hasa kwa wanaoonewa, kutwezwa, kuuawa, kufanyiwa ukatili, kunyimwa haki zao, n.k; na si kinyume cha hayo!!
Kutetea wauaji wa makusudi wasinyongwe mpaka kufa, huo ni upuuzi mkubwa unaokera; na...
Upuuzi uliopindukia!!
Fikiria jambazi kaingia nyumbani kwako/ kwenu; kaiba, kabaka, na kaua..
Kwa bahati nzuri polisi wanamkata; wanamfikisha mahakamani, na kwa ushahidi (wa kweli) dhidi yake inabainika kweli ameua, anahukumiwa kunyongwa mpaka afe kwa kosa lake la mauaji alilofanya; halafu eti...
Wamissionari kutoka Ulaya na Marekani walioeneza ukristo hapa nchini; walikuja kutoka mashirika mbalimbali ya huko kwao, na waligawana maeneo ya uinjilishaji; ambapo African Inland Mission (ambao ndio chimbuko la dhehebu la AIC), kutoka Amerika; walianzia uinjilishaji Kanda ya Ziwa hususan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.