Hata wewe chips akili za kitoto tupu....ujinga ujinga tuu....toeni Uzi zenye akili tuelimike na kupata ujuzi mbalimbali @ kuanzia asbh hadi ujinga ujinga tuuuu...mnatuchosha na kutujazia nafasi tu humu
Ndio maana kila cku nasema humu JF kuna vitoto ambavyo havina akili ....vimekalia ujinga ujinga tu...sasa unatuambia cc tukusaidie nn..uzinzi ufanye ww unatushirikisha nacc ili iweje....Upuuuziii mtupu...tafuta kazi ufanye uwe busy .....
Kikohiozi ni kikavu wala hakina makohozi ila kwasababu ila asubuh ninapopiga mswaki nakuwa kama nataka kutapika yanatoka some sort of makohozi yakiwa yamechanganyika na damu .hili linanipa wasiwasi.naomba msaada wako mkuu
Asante mkuu..ila ningeomba maelekezo ni hospitali gani kwa Dar naweza kupata Dr bingwa wa magonjwa ya koo ili niweze kwenda maana kikohozi kinanitesa na ni muda mrefu sasa.Natanguliza shukrani
Huu Uzi nimeupenda sana...nini dawa ya dry coughing ?mgonjwa ana kama 3yrs ameshatumia dawa za vikohozi nyingi napia dawa za minyoo kikohozi kinatulia muda mfupi kinaanza tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.