Ebu ji tathmini kama kuna hali unayo ni dhaifu juu yako.
1.Mapenzi ya zamani kama yamepungua.
2.Mazungumzo mazuri.
3.Mapenzi yani Tendo la Ndoa.
Kati ya hayo wapi yamepungua 80% jitathmini hapo…!!
Si halali laini ikatwe kodi kwa Mwananchi. Mana mwananchi huyo Ununua hiyo laini kwa Kampuni husika. Ni haki kampuni ndio zikatwe Kodi na sio kila Laini ya Mtanzania ikatwe sio kweli nasio haki katika hali ya kiuchumi..
Na kufanya Hivyo ni Kudhurumu haki za kiuchumi kwa Mmiliki wa simu. Mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.