Wadau nilitaka kufahamu kuhusu sheria ya michango ya uanachama wa PSSSF.. kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi katika sekta ya umma.
Bahati mbaya akapata majanga akafukuzwa kazi. Je, anaweza kulipwa zile stahiki zake ambazo alikua anakatwa kila mwisho wa mwezi kwa maana ya michango ya...
Habari wana jf, poleni na majukumu.. Nina eneo langu mwasonga, kigamboni lina ukubwa wa ekari 1.5 nimejenga nyumba ya vyumba viwili pamoja na mabanda ya kufugia.hapo awali nilikua nalitumia kwa ajili ya ufugaji.. Maji yapo ya kutosha mwaka mzima.
Hilo eneo kwa sasa linauzwa... Kwa ambae...
CWR2016 Nafikiri mtoa hoja umejikita sana katika sheria za kanuni za uasili wa bidhaa.haya mafuta hayana uhusiano wowote na hiyo inshu ya uasili wa bidhaa kwa sababu sheria uliyofanya reference (eac custom management act)inatambua kuwa uagizaji wa mafuta ghafi/semi refined lazima yatozwe kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.