Hakuna cha ziada alichofanya kyela uy baba, kyela mjini tu hakuna barabara!! na ukizingatia ni hiyo inayotumika kupita kuelekea kwao! sio kwamba ana dharau tu bali HAJITAMBUI PIA. #heri kyela ipumue kwasasa
"Kyala atotole kwa mundo ojo" Mwenyez Mungu atutee katika hili watu wa Kyela, hakuna kilichobadilika kipindi chote alichokua madarakani zaidi ya kufumua barabara na kutuachia vumbi tu!!! [emoji27][emoji27] apishe wengine wajaribu pia. #Kinanasi [emoji122][emoji122]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.