Haya matukio yangeshakuwa yalishadhughulikiwa huko nyuma habari kama hizi hata zisingekuwepo.Tatizo zilikuwa za kweli na wakakataa kuzidhibiti.Sasa hata kama hili nalo ni la uongo let us take measures to prove what is black or white
Hana cha kulalamika.He is protected 100% by the system.Mtoto wa rais alalamike nini sasa.....I expected this from Mbunge toka Mikoa ya Kusini au Kigoma.Kwa Ridhiwani sishangai
Kama tu ripoti ya mauwaji ya faru john(mnyama) haikutoka ndiyo ije kuwa ya binadamu aliyeuwawa mchana kweupeee?Sana sana ikitoka utasikia serikali bado inaendelea na uchunguzi wa tukio maana lina mazingira ya kisiasa!
Hawa watu nadhani moto waonutakuwa wa baruti huko Jehanam.Yaani unadhindwa kujibu ulichoulizwa unaleta ya "mbona na sisi tulionewa hamkusema".Huyu Mahi.....shauri yake na imani yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.