Samahanini viongozi nilipenda kufaham kwenye ukataji wa RUFAA mwaka huu Kama hapo awali ulikosea taarifa zako eg, education info's mfumo unakuruhusu kufanya marekebisho.
Nitangulize shukrani zangu kwa wote watakao pitia uzi hu na niwatakie jumapili njema na yenye baraka tele.
Mimi ni kijana wa kiume, naishi dar es salaam Nina miaka 24 ninaomba mtu yeyote mwenye kazi anisaidie tafadhali Nina elimu ya diploma(environmental health science)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.