Mwanaapolo halipwi lakini kuna kitu anapata chini coz hata erasto na wengine wenye migodi walitokea kwenyee uwaanapolo mpka kumiliki migodi yao binafsi...wala hakunaga apolo anategemea salary,....mfano afgem wanalipwa lakini huo mshahara hawautegemei kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.