Recent content by donkipe

  1. D

    Viwango vya gharama daraja la Kigamboni ni uhalifu dhidi ya ubinadamu

    Tumeipenda wenyewe, chaguo letu milele, na wavimbw wapasuke, mtajijua wenyewe, wacha waisome naambaee ... CCM mbele kwa mbeleee. Hii kibwagizo kina maana sana. Hata miezi sita bado tuna mkumbuka vasco dagama. Ama kweli TZ kila kukicha afadhali ya jana
  2. D

    Tanzania iilipe Zanzibar kwa kuitumia ghuba yake bure

    Miaka 50 imeshindikana ndo mlipwe sahv. Viongozi wako wa ccm ndio ma architect wa huu muungano na wako tayari kuulinda kuliko maisha yao leo unasema tuwalipe. Huu muungano ni kama pingu unavyo tapatapa kuinasua ndio ina bana zaidi. Mark my words and trust me. Ni swala la muda tu kupatikana raisi...
  3. D

    Tanzania iilipe Zanzibar kwa kuitumia ghuba yake bure

    Ni kweli nothing last for ever. Ila kutoa uhuru kwa zanzibar ni pale kiama kitakapo simama ambapo ni mwisho wa dunia na ni mwisho wa muungano
  4. D

    Pesa za RADA pamoja na Pesa za BUNGE

    Hahahaha, hapa kazi tu.
  5. D

    Naibu Spika awatoa nje ya Ukumbi wa Bunge, Wabunge wote wanawake wa Upinzani (UKAWA)

    Bhasi wewe unayejua nijulishe. Ingekuwa kheri kweli kujua kutoka kwako.
  6. D

    Naibu Spika awatoa nje ya Ukumbi wa Bunge, Wabunge wote wanawake wa Upinzani (UKAWA)

    Kwanza nieleweke siungi mkono address ya huyo mtoto wa kombani. Kasema kweli lakini katika njia ambayo haikuwa nzuri. Kasema kweli ila katumia njia mbaya hivyo kakosea. Hoja inabaki kunaukweli wowote juu ya alichosema? Labda tuanze hapo then tutaelewana tu baadae kidogo
  7. D

    Naibu Spika awatoa nje ya Ukumbi wa Bunge, Wabunge wote wanawake wa Upinzani (UKAWA)

    Hiyo inaitwa kul haqi walaukana muruh. Kasema kweli vitimaalumu ni jipu. Japo ame address vibaya na kunyooshea watu vidole. Mwenyewe naamini kuwa tulia ni kitu cha ngosha. Na sio huyo tu list inawatu wengi the best thing bunge lifanye marekebisho ya katiba futa viti maalumu. Kama wanawake...
  8. D

    Tundu Lissu alishawahi shinda kesi zipi muhimu kama wakili?

    Mleta mada sidhani kama ulifikiria kwanza kabla ya kuandika hiyo post. Lissu alipo unga mkono hoja na kuifafanua vizuri ile hoja ya zitto juu ya serikali kukiuka sheria katika kuwasilisha mpango wa maendeleo wa miaka mitano kiasi ya kwamba mbobevu mwengine wa sheria ambaye ni mwenyekiti wa bunge...
  9. D

    Said Lugumi: Siyo kila jipu linatumbuliwa, acheni kufanya mambo kwa hasira

    Mkuu nasikitika tena unavyosema katiba si muarubaini. Hili swala la lugumu mfano kwenye original post kuna maelezo kuwa kitwanga kasema mamlaka za juu akiwa na maana ya raisi. Ikiwa katiba inasema raisi hashtakiwi kwa makosa aliyo yafanya akiwa nadarakani unafikiri ni mambo mangapi yanafanyika...
  10. D

    Said Lugumi: Siyo kila jipu linatumbuliwa, acheni kufanya mambo kwa hasira

    Mkuu maandishi yako yananifanya niwe na mshangao kidogo, eti watumishi wenye uadilifu na wanaojua wakifanya makosa wataadhibiwa vikali. Chenge kila kasha emekuwa akihusika na ukiulizwa anasema yeye huwa analipwa hela kutokana na kazi anazo fanya za ushauri wa kisheria. Sasa ni sheria gani hizi...
  11. D

    Rais Magufuli: Ningejua kama Urais ndio hivi, nisingegombea

    Sasa naelewa kwanini JK alikuwa kila mara anakimbilia nje ya nchi hadi kufukia hatua ya kwenda venazuela kwenye mabembea hahahaaaa. U presdar sio mchenzo
  12. D

    Mbowe, Umewatupa wapiga kura wako Hai, jitafakari upya

    Nasikitika hata mtoa mada hajui protocol za uongozi hasa kwa nchi yetu hii. Hayo matatizo mwenyekiti wa kitongoji anayajua, wakijiji jee, diwani, washapeleka malalamiko halmashauri ya wilaya ya hai ikasema kuwa hawana fedha ili mbunge alipeleke bungeni kulisemea au kutafuta wahisani na wadau...
  13. D

    Mbowe, Umewatupa wapiga kura wako Hai, jitafakari upya

    Tatizo ni kutumika unapo kuja na lalamiko la kukosa huduma za jamii njoo na takwimu hapa. Maana takwimu hazidamganyi
Back
Top Bottom