Recent content by Donkey

  1. Donkey

    Bundi Nyumbani Kwangu

    Bundi ni ndege anaye Fanya shughuli zake usiku. Hufuata panya na viumbe wengine Kwa ajili ya chakula chao na hupendelea kuvizia wikiwa juu ya nyumba. Macho ya bundi yana uwezo wa Kuona usiku. Bundi hutumia sauti au mlio wake Kwa ajili ya kuwasiliana na wenzie, bundi wapo wenye rangi tofauti ...
  2. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Ingia google andika unakotoka na kwenda utapata nauli yake
  3. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Tangazeni uzalendo wa nchi yenu Kwa kutumia ndege za ATC Dunia nzima,
  4. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Ni Abiria wengi kutoka USA kuja Tanzania na Abiria wengi kutoka Tanzania( Kila siku watanzania wanaombq visa ubalozi wa Marekani, kubwa zaidi ni diaspora huwa wanarudi nyumbani Kwa shughuli tofauti na watalii kutoka USA baada ya kutanganza fursa za kuja kufanya utalii Tanzania
  5. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Shirika la ndege Tanzania- ATC Anzisheni haraka safari za kutoka Dar/Kilimanjaro kwenda JFk New York USA, sababu Kuna abiria wengi sana Toka USA kuja Tanzania. Changamkeni
  6. Donkey

    Kusafiri umekaa siti moja na mtu anayependa kula hovyo.

    Unampangiaje kula wakati ana appetite iliyokomaa. Halafu ananunua Kwa pesa yake. Wewe ambaye huwezi kula safarini ni huenda huna pesa ya kula au una appetite mbovu
  7. Donkey

    Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

    Someni hapo muelimike https://www.jamiiforums.com/threads/fahamu-matumizi-mbalimbali-ya-henna-hina-kwa-mwanamke-na-afya-kwa-ujumla.1344406/
  8. Donkey

    Ongezeko la mabinti (wanawake) waliochora tattoo sehemu mbalimbali za miili yao, nini tatizo? Haliwezi kuhatarisha makuzi ya mabinti wa kesho?

    Tembea uone, tattoo siyo uhuni. Toka zamani tattoo zipo, je unajua hena au pickle ni nini. Siku hizi Kuna madarasa ya urembo Dar, Tanga na Zanzibar, mwanamke wa kiislamu wakati wa harusi yake huwa anachorwa nini kwenye mwili wake. Aibu kwangu
  9. Donkey

    Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

    Yesu ndiyo nani. Utapeli tu na kuwazuzua na kuwaongezea ujinga watu, mababu zetu walifanywa watumwa kabla ya yesu kuja. Kwanini alipokuja hukuzuia utumwa mpaka wahuni wakamtoa kafara Ili tule tunda kimasihara
  10. Donkey

    KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

    Unanijua?, kwani VIP bus ni Moja. Yapo mengi na watu wengi wanapanda Kila siku, acha fikira finyu
  11. Donkey

    KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

    Aliingia chooni na bag dogo. Kakaa dakika 20, kutoka ni harufu kali. Kwanini pasiwepo na chuo Cha wahudumu wa mabasi kama ilivyo wa ndege.
  12. Donkey

    KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

    Kukosa kazi hakuondoi uchafúzi wa mazingira ndani ya basi
  13. Donkey

    KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

    Sina imani Sina Imani potofu hizo. Naamini katika Sayansi tu
  14. Donkey

    KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

    Sina issue ni maelezo tu. Usitegemee majibu unayotaka
Back
Top Bottom