Ikumbukwe tu nchi yetu ya Tanzania katika sekta ya viwanda bado iko chini, na kuna kipindi kinafika nyanya zinakuwa nyingi sana na bei zake huwa ziko chini mpaka inafikia hatua zinaoza na kutupwa,
Kwa sababu bei yake huwa chini sana kutokana na wingi wa bidhaa hiii sokoni.
NINI CHA KUFANYA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.