Recent content by DoN free

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa Biblia uzao wa Waanaki ndio waliojenga mapiramidi?

    Mkuuu pole na majukumu kwa kupitia andiko lako ningependa kukuweka Sawa kidgoo kwa uelewa wangu huenda usiwe mkubwa Sana ila unaweza kukusaidia manake kwa andiko lako waonekana NI Mtu unae penda kujifunza na desturi ya wanao penda kujifunza hupokea maoni Fulani fulani au husoma Neno wanefeli...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

    Leta ushahidi wa kukinzana na hi DHANA MTAMBUKO mkuu kama huna itafute huenda ikawa na mashiko tuka iamini baada ya kuamini hi iliyopo kwa muda mrefu!! Ukisema uongo mtupu bila kuleta ukweli mtupu napo kuna shida tena 😂😂
  3. D

    JamiiForums Tanzania Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

    😂😂😂 Kuna mambo mengine ukifikiri kisayansi hayaleti maana na kuna mambo mengine ukifikir kidini kisayansi hayaleti maana kabsaa Mfano binadam alikuwa nyani aka develop akaa binadam hi ni sayansi 😂😂 ina fact zake ila inafoka kikomo kuwa why nw nyani hawawi binadam? Unaona kuna shida hapa...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

    Kasome mambo ya walawi 18:6-8,walawi 20:17-21,, kumbukumbu la torati27:20-23 alafu unajiongeza mkuu kama Musa aliandikia Wana wa Israel hivi kuwa hivi vitu ni haram hampaswi kufanya ina maana kuwa kabla ya musa kuandika vilikuwa vina fanyika sana!! na ukisoma Zaid kabla ya musa Yani kabla Musa...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Miezi mitatu nimetotolesha vifaranga 500 vya kuku wa kienyeji

    Kumradhi kwa kuchelewa kujibu mihangaiko ya hapa na pale Huku inategemea na eneo Yani umbali toka lami na pia aina ya shamba Yani ubora Wa shamba bei NI 200k,170k,150k, kwa HEKARI
  6. D

    JamiiForums Tanzania Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

    Kwani hizi mambo za kuto oana Kaka na dada si zilianza kuwa haram baada ya Sheria za musa
  7. D

    JamiiForums Tanzania Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

    🤣🤣🤣🤣🤣 Usichosadiki NI nini sasa hapo mkuu
  8. D

    JamiiForums Tanzania Miezi mitatu nimetotolesha vifaranga 500 vya kuku wa kienyeji

    Mkuu hongera Sana naitwa Bwana masawe nipo mkoa wa pwani wilaya ya Chalinze eneo la mbwewe ningependa nijifunze kwako huu mradi manake nimejaribu mara 2 zote nimeangukia pua Nina Shamba Zaid ya hekari 20+ mabanda yapo Ila kila nikijaribu chali Post yako imenipa natumaini kuwa kumbe inawezekana...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel latangaza msako mkali wa Mohamed Sinwar ambaye ni kaka wa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aliyeuawa Oktoba 17, 2024 Gaza

    Kila mmoja pale myahud Israel na Arab Palestine ana amini anapigania haki Yake ndo shida ilipo, Kuishi kwa Amani na Upendo hawataki na kila mmoja kwa upande wake akahamia kwenye sheria za musa jino kwa jino Kibaya Zaid ktk Sheria za Musa hakunaga mshindi Zaid NI kumalizana tuuu
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

    Chuki binafsi Zidi ya walokole kiongozi
  11. D

    JamiiForums Tanzania Quran Inasema Israel ni Ardhi ya Wayahudi

    Mkuu wewe unajua ulianza lini?
Back
Top Bottom