Serikali mmeweka kipaumbele sana kwa wananchi kupata kadi ya mpiga kura kuliko kadi ya uraia.
Mtaani kwetu vibanda vya kujiandikisha vipo ad leo na hakuna watu, watu wanasubiriwa adi wanatangaziwa mitaani mkajiandikishe, ila lilipokuja suala la NIDA walifanya chapchap wanafika saanne asubuh...
elimu zetu ni zakusoma ilu mwishowe upate kazi uwe na familia, ujenge nyumba, ununue gari na kufungua duka, uzeeke upate mafao ule taratibu ufe..
wenzetu wanasoma ili waje kutatua changamoto fulani fulani zinazoikabiri taifa ama dunia kwa ujumla.....
Wajameni ivi naweza nikanywa beer na ikiwa nimemeza ARV muda mchache uliopita. nameza ARV saanne sometimes saatano night, naweza nikaanza kugida around time iyo.???
Dah ni vile tu bado kibunda hakijajiSet sawasawa, Kinachozid kunipa imani na tumaini ni vile watu wanavyopona totally from POSITIVE to negative na wanapimwa tena baada ya miez ad sita still wapo negative wamepona.. Tatizo wapigaji ni wengi sijui uwa anawaandaa watu wake anaowajua yey sielewi
Habar wakuu, nimemiss sana kamnyweso asee. nameza ARV's saanne usiku je' naweza kunywa Beer na nimemeza Dozi....
maana nina maliza mwez na kidogo kusimama kunywa kamnyweso tangu nianze dozi nahis mateso, mwili unataka pombe mim nauzuia adi naziota ndotoni[emoji29]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.