Recent content by Don 1

  1. D

    JamiiForums Tanzania Rushwa kwenye suala la ajira

    Habari zenu waungwana, kama kichwa cha habari tajwa hapo juu mnalizungumziaje hili swara la rushwa katika ajira, maana inasemekana kwa Dada zetu huhitajika kutoa rushwa ya ngono na kwa vijana wa kiume huhitajika kutoa cent na inategemea utaambiwa utoe kiasi gani. Kiukweli kama hili ni kweli...
  2. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke umri wa miaka 18 mpaka 30

    Ugonjwa wa moyo upo tu jombaa usishangae ukaupata hata kwa huyo uliyempata kwa kanisa
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke umri wa miaka 18 mpaka 30

    Wapo mazee na mahali yao ni ng'ombe au mnaconvet to Tsh., na kwangu vyote hivyo havina tabu maana ng'ombe 20 ni imaterial sana mazee
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke umri wa miaka 18 mpaka 30

    Natafuta mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mpaka 30 na awe Msukuma mrefu wastani, mweupe wastani na asiwe mnene na awe amesoma japo mpaka form four au zaidi na awe mfanyakazi,mfanyabiashara au asiyekuwa na kazi. Mimi ni mrefu, mweupe, mwembamba wastani kazi yangu ni mfanyabiashara na elimu...
Back
Top Bottom