Hakuna ushahidi hata wa kukamata vifaa vya huo ugaidi. Wanaweka kurasa kwa kupini kurasa za kuchonga jaji sawa tu. Mara hajui mbweni ni wapi mara anapajua kila kukicha jambo jipya uonevu tu. Huyo rais kimia. Wamfunge wafurahi ama wamnyonge kabisa.
Huyu mama anajitakia Mmbowe anashida gani mpk aendelee kuumfanyia hivyo.. Ngombe wakanywe wapi maji fedheha. Unanunua ndege badala ya kununua mtambo wa kuchenjua chumvi maji ya bahari watu wakanywa maji safi
Ugaidi wa kwetu ni kuonyeshs dalili za kwenda kinyume na hicho chama cha majambazi. Kudai haki wewe dai jambo lolote kinyume nao. Utasikia si jeshi polisi mpk raia wajinga wa mtaani kwako wanakusema. Utapigwa na utauawa na kuchekwa mpk hata na maskini wenzio
CCM kuendelea nayo ni hatari sana, watu wasio na kitu wamekuwa walengwa kwa maonyesho kidogo ya vitu vilivyo jengwa kwa uongo wa kuwadanganya.
Mkuu anakopa anatengeneza au kununua vitu vya muda na visivyo lenga usitawi wa watu. Baada ya muda mfupi vitakufa na kubakia na madeni makubwa ambayo...
Bila haki usitegemee amani kiongozi anasema fomu yenu imeshachukuliwa tupe hiyo barua na namba ya simu ya mhusika unakataa ati nendeni polisi
Mwaka huu unaweza kuwa mwaka wa watu kama hao nao kukoma kuishi.
Wewe ndiye huna akili maneno yana umba, kwa mawazo yako IGP ndiye mungu au ccm au huyo mkuu?
Nani mwenye kuua na kuhuisha? unaona CCM ndiyo wenye mamlaka hayo, hata iweje watu hawawezi kuvumilia kuonewa.
Hakuna uwe wewe au hao akisemacho kinaweza kumpata yeye kabla hata ya huyo.
Hiyo barua ya cdm mbona hataki ionekane hawa viongozi ifike mahala wawajibishwe na wananchi wenyewe.
Na vitendo hivi vinafanywa kwa chadema pekee yao hii siyo kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.