Mange namuita mbinafsi sababu yote anayoyafanya hafikirii kuwa ana watoto wadogo na bado wanamuhitaji, eti mi siogopi kufa kwa kutetea ukweli, haya kila la kheri, nasikia umekuja kugombea ubunge, utachaguliwa na Wapare wenzio.
Unatetea ukweli gani wakati evidence hauna, kazi kuchochea magomvi...