Recent content by Dominic Marandu

  1. Dominic Marandu

    Lowassa anakusudia kujitoa mbio za Urais

    Kama atajitoa itapendeza zaidi. Kwa sababu kimsingi hana hoja zenye mashiko ingawa ana ushawishi mkubwa ambao kwa Watanzania wa wastani ninaowajua wanaweza kujikuta wanamwamini, kumchagua na kisha kujutia baadaye.
  2. Dominic Marandu

    Zitto amrushia 'kijembe' Prof. Muhongo

    Simaanishi kuwa he is the best lakini ukimlinganisha na wenziwe watangaza nia yeye ana nafuu
  3. Dominic Marandu

    Zitto amrushia 'kijembe' Prof. Muhongo

    Kama CCM watakuwa wa kuendelea kuongoza nchi, basi na waache porojo nyingi na wamsimamishe Prof. Muhongo. Huyu muhemishimiwa yuko makini (smart) sana katika utendaji na katika kupangilia mikakati. Kama ulisikiliza hotuba yake ya kutangaza nia, tukio ambalo halikuwa na makuu, kwa watu makini...
  4. Dominic Marandu

    Wachache wamemuelewa prof. Muhongo

    Kama CCM watakuwa wa kuendelea kuongoza nchi, basi na waache porojo nyingi na wamsimamishe Prof. Muhongo. Huyu muhemishimiwa yuko makini (smart) sana katika utendaji na katika kupangilia mikakati. Kama ulisikiliza hotuba yake ya kutangaza nia, tukio ambalo halikuwa na makuu, kwa watu makini...
  5. Dominic Marandu

    Nimeona aibu sana nilipomsikia Wassira

    Watanzania wenye nia watamuunga mkono Prof. Muhongo. Huyu mheshimiwa yuko detailed sana. Ika kwa siasa zetu za siasa siasa hata tano bora tu ya ndani ya CCM hatakuwepo.
Back
Top Bottom