Recent content by Domcity Farming Center

  1. D

    Huna kazi lakini kwenye simu una 50,000 Tshs tu, ifanyie hiki ninachokushauri...

    Sio Controla ila namuelewa sana anachokishauri na sijaanza kumfatilia Leo
  2. D

    Huna kazi lakini kwenye simu una 50,000 Tshs tu, ifanyie hiki ninachokushauri...

    Kwanza kabsa nikushukuru CONTROLA kwa moyo wa kipekee ulionao unatusaidia wengi kupitia mawazo yako ALLAH akuzidishie japo najua asilimia kubwa ni watu wa kusoma nakala zako na sio kucomment Pili binadamu ata umfanyie wema gani lazma atakuponda tu..Umejitoa kuandika nakala mbalimbali tena free...
  3. D

    Mambo ya kuzingatia kabla haujaanza kufuga kuku kibiashara

    5.RESOURCES (Rasilimali) Waoo tunamalizia sehemu ya 5 baada ya hapa waiting kwa somo jipya RESOURCES unapotaka kuanza kufuga hakikisha unajiandaa ata km kipato chako kidogo basi jiandae kutokana na level ya kipato chako,,,, Maana yangu ni ipi unapotaka kuanza kufuga gharama za ufugaji zipo...
  4. D

    Mambo ya kuzingatia kabla haujaanza kufuga kuku kibiashara

    4.LOCATION (sehemu ya kufugia) Muhimu unapotaka kuanza kufuga angalia sehemu unayotaka kufuga unaweza jiuliza maswali yafuatayo:- =Je..?? Vip kuhusu huduma ya barabara,maji na umeme.. =Je wafugaji walionizunguka wanafuga zaidi kuku aina gani km wanafuga broilers mm ngoja nifuge layers niuze...
  5. D

    Mambo ya kuzingatia kabla haujaanza kufuga kuku kibiashara

    3.PASSION (Shauku) Unapotaka kuanza kufuga make sure unakua na shauku ya kitu unachotaka kufanya.Anza kuwapenda kuku ,penda ufugaji wa kuku,ondoa negativity kutoka kwa watu wanaosema ufugaji mgumu Mara haulipi ww jiandae kuwa na hamu ya kufanya unachopenda Ukiwa na PASSION utajikuta unakua...
  6. D

    Mambo ya kuzingatia kabla haujaanza kufuga kuku kibiashara

    2.COMMITMENT(Kujitoa) Hakuna mafanikio yoyote hapa duniani ambayo yanakuja kirahisi bila mtu kujitoa na kuchukua maamuuzi magumu... Ufugaji wa kuku ni kama biashara zingine bila kujitoa uwezi fika popote.. Sikutishi ila nakuambia ukweli hakuna mafanikio bila uvumilivu na subra ata kwenye...
  7. D

    Mambo ya kuzingatia kabla haujaanza kufuga kuku kibiashara

    MAMBO YA KUZINGATIA KABLA HAUJAANZA KUFUGA KUKU KIBIASHARA 1. AVAILABILITY (uwepo wako) Kabla ya kuanza ufugaji wa kuku kibiashara hakikisha unapata nafasi ya kushiriki kwa karbu katika mradi wako.kama nafasi yako itakua ndogo sana basi jitahidi mwenza wako asimame kama wewe. Au upate kijana...
Back
Top Bottom