Nimekwambia wewe si mtaalam wa haya masuala ni bora ungekaa kimya maana kuzidi kuandika unajianika ulivyo mbumbumbu
Kitendo cha kusema sijataja dalili wakati nimezitaja kitalaam kwamba EVD na MVD zote ni hemorrhagic fever. Kwa neno hilo wataalam wanajua ni dalili zipi.
Bora uwe unanyamaza...
Ugonjwa kutojulikana uswahilini haimaanishi jina linalojulikana ndilo litumike wakati siyo sahihi hata neno EBOLA siyo la kiswahili lakini mwishowe watu walielewa . Ila mwisho wa siku jina litazoeleka kwa sababu litasemwa. Kwani coronaviruses si walikuwepo tangu 1962 na walikuwa wanasababisha...
Tatizo letu ni kujifanya kujua. Mambo ya kiyasansi yanathibitishwa maabara siyo ngonjera za hoja ingekuwa hivyo watu hospitali wasingepimwa maana dalili za magonjwa zinafanana kwa hiyo ingebaki tiba ya kumsikiliza mgonjwa na kung'amua bila kuchukua vipimo maabara
Kwani hiyo Marburg haijawahi...
Wewe unajifanya mjuaji sana unaeleweshwa lakini kichwa chako ni kama cha mbuzi hakisikii mpaka kiwe kwenye chungu.
Vitu vya kisayansi kama siyo mtaalamu kaa kimya usubiri kueleweshwa siyo kushupaa.
Haya ni magonjwa mawili tofauti yanayosababishwa na virus wawili tofauti walioko jamii moja...
Yeye mwenyewe alikiri kuwa na uelewa mdogo kwenye Molecular biology na kukaa na wataalam kwa ajili ya research ili kurevolutionise medicine. Leo progression ya medical field huwezi ukamtenga Molecular biologist na Microbiologist.
SHINYA YAMANAKA
MD and Orthopaedic surgeon later Scientist.
Discoverer of Induced Pluripotent Stem Cell (IPS) and Noble prize winner in Medicine and /Physiology
Haya ni sehemu ya maneno ya kwenye Biography yake. Ukiwa makini utagundua kwa nini hapa nchini hatuendelei kwenye field ya afya.
In...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.