Recent content by Doita

  1. D

    Liverpool lose hope

    Huenda man city wakapata division 0.
  2. D

    Maisha yangu kama Makamu M/kiti BAVICHA na Hofu ya kuongozwa na akili ndogo

    Kama kijana na safari ndefu lakini kwa post hii nimekata tamaa. Unatamani sana kurudi ulikotoka. Piga moyo konde utapokelewa maana na wao ni binadamu wanakosea. Ushauri wa bure; Acha kinyongo utaishi maisha magumu sana.
  3. D

    Mdomo wa LEMA ni hatari kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla

    Poleni wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Mungu awaponye na kuwatia nguvu katika kipindi hiki kigumu. Stay calm and pray.
  4. D

    Mh.Godbless Lema,Said Mwema,Bi.Kijo Bisimba, Live Sauti ya America(VOA) saa moja na nusu Usiku leo

    Kipimo cha uelewa wa mtu sio kiingereza au lugha ya yeyote ya kigeni, Huyu bwana ni mtumwa bado.
  5. D

    Bungeni: Taarifa ya tume ya kuchunguza matokeo mabaya ya kidato cha nne yasomwa

    Ni muda mwafaka kwa waziri wa elimu, naibu wake, katibu mkuu pamoja na Ndalichako wajiuzulu kwani matokeo yaliyotangazwa yalisababisha baadhi ya wanafunzi kupoteza maisha na wengine wameathirika kisaikolojia. Walipaswa kujiuliza kabla ya kutoa matokeo yale ili kubaini kasoro zilizopo.
  6. D

    CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

    Dear God lead Kenyans to their Destiny peacefully. You are the only who knows the Kenyans new President.
  7. D

    CHADEMA na harakati za nje kwa kutumia pesa za Watanzania masikini

    Kajipange upya ulete ahbari zenye evidence na data za ukweli. Hatuna muda wa kujadili majungu. Huna taarifa zenye ukweli.
  8. D

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Mwisho wa siku ukweli utajulikana tu. Watanzania wazalendo wataamua yupi wa kumwamini na yupi asiaminike. Let CHADEMA THINK AND THINK AND THINK AGAIN.
Back
Top Bottom