Hapa G. Ulimwengu yupo sahihi kbsa.... Huwezi kutoa data wakati uhalisia wakupima watu haupo.... Siasa ni tofauti kbsa na sayansi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Teyari ameshakuwa CHIZI.....kwanza cyo mbunge na ameshafukuzwa CDM...cjui anaongea kwa tiketi ya chama gani.. Hope.. natafuta huruma ya CCM... Mungu ammpe hekima SPIKA.. Haya ya leo ni aibu kesho!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii ina viongozi wanafiki haijapata tokea.... Either ni kweli au ni Uwongo kwani ni wakae kimya bila kutoa taarifa za kila cku kama mwongozo wa WHO unavyo taka. Ila muda utasema hata wakificha kifo cyo siri...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.