Hivi una taarifa kwamba Spika mara kwa mara alikuwa akimwambia kuwa hayo anayoyataka hayawezekani kwakuwa hayako ndani ya uwezo wake ila Mbunge Masele akawa bado analazimisha? Ina maana hukumsikia jana Spika Ndugai alivyokuwa ' akitiririka ' na ' kuserereka ' kumhusu Mbunge Masele? Sasa kwa hili kati ya Mimi na Wewe nani ndiyo ' amechemka ' zaidi hasa Kitaarifa?
Jamaaa alovyokosa akaenda kwa waziri mkuu kuomba kituko sana jamaa