Recent content by Dogo Dogo

  1. D

    JamiiForums Tanzania Majina yasiyopungua matatu vs majina yasiyozidi matatu, huyu alitaka kusemaje? Je Katiba ya chama haikuvunjwa?

    Hawa wasenge tu kama wasenge wengine,kazi kusifia tu ilimradi wapate uteuzi
  2. D

    JamiiForums Tanzania Suluhisho ni Serikali 3 vinginevyo kelele za Wantam zitatawala kila Rais atakapotokea Zanzibar

    Hakuna haja ya kuwa na serikali tatu,huu muungano ufike hatua kila mmoja apambanie Hari yake,hauna faida kama upande mmoja unatoa sana,Acha wazanzibar wapambane na nchi Yao na sie tubaki kivyetu maisha yaende
  3. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ni Tunu ya amani na umoja wa Taifa letu Tanzania

    Endelea kupambania uteuzi labda utakumbukwa siku zijazo
  4. D

    JamiiForums Tanzania TANZIA John Nyerere afariki dunia

    Bwana Ametoa Na Bwana Ametwaa,jina Lake Lihimidiwe
  5. D

    JamiiForums Tanzania Waziri Simbachawene aiagiza TANESCO kuvunja mkataba na SELCOM wa kuuza umeme wa LUKU

    Tanesco Imetawaliwa Na Wizi Kila Idara,inabd maamuz magumu yafanyike kila idara,watu wawajibishe bila kuoneana aibu
  6. D

    JamiiForums Tanzania NCCR-Mageuzi yadaiwa kuwasilisha hoja ya kujitoa UKAWA; CUF watoa masharti magumu!

    Linamilikiwa na Rostam Aziz
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kwa Watalaamu Wa IT

    Napenda Kufamu Computer Kufeli Kuunganisha Internet,tatizo Ni Nin?
  8. D

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara kwa yeyote anayehitaji

    Mngefanya Hata Kutupa Kwa Ufupi Ni Aina Gan Ya Biashara,namna Ya Kuiendesha Na Namna Ya Kujiunga,inatuwia Vigumu Kwa Sie Ambao Tuko Nje Ya Dar Kuifahamu.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Shule za Sekondari za Serikali zimeanza kufungwa kwa kukosa chakula cha wanafunzi

    Serikali Iliyopo Madarakan Inashndwa Kuwajibishana,kila Mtu Anamuonea Haya Mwenzie Na Matokeo Yake Ndio Kama Haya, Ghala La Taifa Tunaambiwa Lina Tani Za Kutosha Kwa Ajili Ya Kulisha Watz, Kwa Nn Isitumike Kuondoa Matatizo Km Haya Mashulen? Hahitaji Akili Za Darasan Kutambua Umuhimu Wa Chakula...
Back
Top Bottom