Mimi Mzazi nikikosa hela ya kununulia sare za shule na nimeambiwa nimpeleke hivyo hivyo akiwa hana sare,sasa katika hili inamaana sare zimeshafutwa???naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua.
Tuzingatie sheria na kanuni zake zinasemaje!!!!!,huwezi kupoteza haki yako ya kugombea kwa kuwa ni ex -DED........watu mkishindwa hoja za kisiasa njooni huku shambani maana kuna kazi zingine za kufanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.