Mkuu naomba unisaidie kujua changamoto technical anazo kutana nazo mmiliki wa pili na je kwenye rough road inahimili, ni weza ishi kijijini angalau kwa mwezi mzima na kurudi dsm bila shida.
Natanguliza shukrani mkuu
Habari zenu wakuu, tafadhalini naomba msaada wa ushauri kwa mwenye kuijua mazda demio ya 2004 -2006 upande wa running cost zake, magonjwa yake na je kuna uwezekano wa kudumu nayo kwa miaka angalau 10 kwa mazingira yetu ya Tanzania?
NB: Sijawai kumiliki gari nimeona bei ya mazda demio ipo chini...
Habari za wakuu, tafadhalini naomba msaada wa ushauri kwa mwenye kuijua mazda demio ya 2004 -2006 upande wa running cost zake , magonjwa yake na je kuna uwezekano wa kudumu nayo kwa miaka 10 kwa mazingira yetu ya tanzania?
NB: SIjawai kumiliki gari nimeona bei ya mazda demio ipo chini kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.