Heee!!
Hapo kwenye 'Nasikia' ndio umenimaliza kabisa! Duh!!
Anyway wewe binafsi unaonaje? Kama unaweza kuishi hivyo sawa vumilia ni suala la muda akimaliza mambo yake atakutafuta.
You are such a sweet guy yani kitendo cha kumsubiri masaa 4 atoke class umsindikize nyumbani ni upendo wa ajabu. Ni vile tu wadada huwa na tamaa lakini kama amejirekebisha msamehe maana inaonyesha unampenda sana.
Kutokana na maelezo yako achana nae hakufai ila kwa kuwa moyo umependa unaweza pia kuvumilia!! Inshort you have to decide for yourself lakini pia mshirikishe Mungu
Ukristu au uislamu tunaweza kusema ni njia za kuwasiliana na Mwenyezi Mungu kwa hio ni wewe kuamua upande gani utakufaa kutimiza matakwa yake hapa duniani. Kila la kheri kwenye utume na maamuzi yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.