Recent content by dodoma real estates

  1. dodoma real estates

    MJADALA: Nini kifanyike kuwadhibiti madalali wa nyumba, vyumba, mashamba, gari n.k?

    sallam humu..bila kusahau kwa wale wataohitaji au wanaohitaji nyumba ..viwanja..frame..nk Dodoma msisite kuntafuta tusaidiane kupata hitaji lako..ahsanteni Sent from my SM-G313H using JamiiForums mobile app
  2. dodoma real estates

    House4Rent Nyumba ya kupanga Dodoma mjini

    Habari za jioni wandugu..kwa anae hitaji nyumba mpya na ya kisasa ya kupanga Dodoma anitafute .nyumba ipo ndani fence ina maji na umeme pia ni mpya ina vyumba viwili master ..jiko..dining..sebule..madirisha aluminium..gypsum juu..tiles chini..perving blocks nk..bei ni 300k kwa mwezi*6..mwente...
  3. dodoma real estates

    House4Rent Vyumba na Nyumba za kupanga Dodoma mjini

    Ile ya laki mbili na nusu imeshatoka..maeneo ya karibu na UDOM ni makuru zipo lakini bei yake ni kuanzia laki tatu ukiwa tayari nijulishe 0714140579 ukazione
  4. dodoma real estates

    Pumzika kwa amani mdogo wangu

    Apumzike kwa amani..
  5. dodoma real estates

    House4Rent Room master kisasa Dodoma inapangishwa

    Kwa sehemu ya biashara ya mpesa na tigo pesa ni stendi ya mkoa panakufaa nadhani ila kwa chakula ni maeneo ya soko la majengo ndiowengi hutaka nafasi kule..ila pia hata mpesa panafaa pia ..ukiwa tayari nijulishe nianze mchakato
  6. dodoma real estates

    House4Rent Room master kisasa Dodoma inapangishwa

    Hapana mkuu sijawahi fanya kitu kama hicho na huwa natuma na picha ila kwa hili nimeshindwa ndio maana nikaonba radhi kwa ukosefu wa picha
  7. dodoma real estates

    House4Rent Room master kisasa Dodoma inapangishwa

    Hapana karibu na barabara ndugu..hapa maeneo ya shule
  8. dodoma real estates

    House4Rent Room master kisasa Dodoma inapangishwa

    Mkuu samahani kuna sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu ndio maana nka shindwa..ukiwa interested nicheck kwa 0714140579
  9. dodoma real estates

    House4Rent Room master kisasa Dodoma inapangishwa

    Sallam..wanajamvi nna deal motomoto mwenye uhitaji wa chumba master ipo maeneo ya kisasa Dodoma mjini ipo ndani ya fence na ina tiles ..gypsum na madirisha alluminium maji na umeme uhakika inahitaji 80000 kuanzia miezi minne.. NB..nime shindwa chukua picha kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu
  10. dodoma real estates

    Msaada: Nimeibiwa milioni moja na laki nane na mtandao wa Tigo

    Yan ndugu hilo swala walikuwa wakali mpaka naona ni wanajuana na huyo mtu
  11. dodoma real estates

    House4Rent Nyumba yakupanga Dodoma mjini

    Nyumba ipo swaswa ina vyumba vinne vitatu master ina fence umeme pamoja na maji bei 350000 kwa mwezi kwa miezi sita
  12. dodoma real estates

    House4Rent Vyumba na Nyumba za kupanga Dodoma mjini

    Kuna nyumba inavyumba viwili kimoja master jiko na sebule umeme na maji wakwako ina tiles jipsum na madilisha aluminium inataka laki mbili na nusu miezi sita..itafaa?
Back
Top Bottom