Recent content by Dodau

  1. D

    Hawa wasanii wetu wanawezaje ku share wanawake?

    hilo nalo neno la msingi
  2. D

    Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

    punguza wivu, maana wivu hukondesha kuliko kukosa chakula
  3. D

    Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

    kweli kabisa, wana vurugu za speed bila kuangalia wako wapi
  4. D

    DOKEZO Daktari aliyefumua nyuzi za mgonjwa kisa hakuwa na hela ya kulipa kaletwa Hale, adhabu ya uhalifu ni kuhamishiwa kituo kipya?

    onyo alilopewa ndio kuhamishwa na kupewa kituo kipya akiongoze, angekuwa mtu wa kubadilika asingeendelea na ujinga alipopelekwa makuyuni kabla ya hale
  5. D

    DOKEZO Daktari aliyefumua nyuzi za mgonjwa kisa hakuwa na hela ya kulipa kaletwa Hale, adhabu ya uhalifu ni kuhamishiwa kituo kipya?

    Wakazi wa Hale tunashukuru kwa kuletewa kituo ambacho kitasaidia kwa kiasi kikubwa kusaidia wakazi wa maeneo yaliyo karibu yake. Ila kweli Mzava, ndio tuletewe mganga (dokta) ambaye alikuwa na kesi ya ajabu ya kumfumua nyuzi mgonjwa aliyemshona kisa alikosa hela ya kumlipa kwa muda ule, maana...
Back
Top Bottom