Recent content by dobimaridadi DB

  1. D

    DOKEZO TAKUKURU ni kweli hamjui wanachofanya maafisa TRA bandarini

    Huyo mshahara hagusi wakati mshahara wa mwalimu hautoboi trh 5
  2. D

    DOKEZO TAKUKURU ni kweli hamjui wanachofanya maafisa TRA bandarini

    Ukijaribu kufikiria gap lilopo lazima kichwa kipate maumivu kuna watu ni walafi na hawana hata chembe ya huruma
  3. D

    DOKEZO TAKUKURU ni kweli hamjui wanachofanya maafisa TRA bandarini

    Jaribu kupiga hesabu 10000 mara mizigo inayotoka bandarini kwa kiwango cha pesa wanachopata hawastahili hata kulipwa mshahara..
  4. D

    DOKEZO TAKUKURU ni kweli hamjui wanachofanya maafisa TRA bandarini

    Note. Huu ni uhalisia wa kinachoendelea bandarini na sio habari za kuchafuana. Mimi kama mmoja wa wadau wa kubwa wa sekta ya bandari nachukizwa sana na matendo yanayofanywa na maafisa wa TRA bandarini(TPA) na bandari kavu(ICDs). Wenzetu wa TRA wametugeuza customs agent kama mitaji wameset...
  5. D

    Tukabidhi sisi jukumu la kufua na kunyoosha nguo zako

    Nashukuru kwa wale wote waliokuja pm. Huduma bado zinaendelea
  6. D

    Tukabidhi sisi jukumu la kufua na kunyoosha nguo zako

    Location Ubungo Bei nguo@500 kufua tu. Zikiwa nyingi tunazungumza Karibuni sana kwa Dobimaridadi
  7. D

    Tukabidhi sisi jukumu la kufua na kunyoosha nguo zako

    Dobimaridadi Mtaalamu(specialist) wa kufua na kunyoosha nguo yupo kwa ajili yako kuhakikisha umaridadi wa muonekano wako kwa kuvaa nguo nadhifu. Tupe nguo zako leo tukufulie/kunyoosha kwa umakini wa hali ya juu wewe leta nguo ya aina yoyote bila kujali ni ngumu kiasi gani sisi tutahakikisha...
Back
Top Bottom