Recent content by DNR

  1. D

    Zitto: Taarifa ya CAG inaonyesha deni la taifa limeongezeka kwa asilimia 168

    Ni rahisi sana kuongoza Taifa ambalo zaidi ya 80% ya wananchi wake wana uwezo mdogo sana kufikiri ,hata ukimchukua mtu wa ngazi ya degree ukikaa kumsikiliza anavyopambanua mambo utapatwa na hasira sana .Umasikini uliokithiri kwa wananchi umeathiri sana uwezo wa kufiri na kupambanua mambo ila...
  2. D

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Huu ndio uchochezi sasa acha tabia za kike .
  3. D

    Juma Nkamia ampinga Rais Magufuli kuhusu miaka 7 ya Urais

    Trump ni mtu mkweli na asiye mnafiki kwa haya yanayotokea Africa ,Hafu unakuta mtu anatokeza hadharani kinafiki kusikitisha na wazo hilo .
  4. D

    Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea. Ni siku 10 na hajulikani alipo

    Tz survivors episode 0000013356 ,hatujui kesho in zamu ya nani ,so sad .
  5. D

    RC Malima amtaka Mohamed enterprises kufungua kiwanda cha Mutex badala ya kukimbilia mambo makubwa!

    kijana una uwezo mdogo sana wa kufikiri ,hebu jaribu kupitia maisha ya Matajiri wakubwa ambao ni wafanyabiashara .
  6. D

    Makonda: Fedha zote za matibabu ya bure kwenye meli katoa Rais Magufuli

    Acha Utaahira ,kama hujui kitu kaa kimya .
  7. D

    Wabunge 8 na madiwani 2 wa CUF waliofukuzwa, Warudishiwa Uanachama hadi kesi ya Msingi itakapotolewa Uamuzi na Mahakama

    Hili Jumba la sanaa limejaa burudani ya kila aina . i'm very luck kuzaliwa Tanzania .
  8. D

    Dar: Ofisi ya Mawakili ya Prime Attorney advocate zilizopo upanga, imevamiwa na Watu Wasiojulikana

    Watanzania akili ndogo sana uwe unaelewa kilicho andikwa cha kushangaza umepata likes 10 daaa
  9. D

    Sheikh Ponda aguswa na jaribio la mauaji dhidi ya mhe Tundu Lissu

    Ajiangalie asije akajikuta yuko mikononi mwa watu wasiojulikana .
  10. D

    Rais Magufuli, mpe Zitto Wizara ya Nishati na Madini..

    Acha Ujinga ,hii nchi ili tuendelee tunahitaji kuondoa fikra finyu kama hizi ulizonazo.Toka lini mtu ndumila kuwili akaaminika ?
Back
Top Bottom