Hakuna kosa kubwa walilofanya kundi la G55 kukimbilia chaumma na kuondoka chama imara na kinachopendwa na watanzania. wataambulia zero hawakusoma majira.
Nimefurahishwa na kauli ya Mwenyekiti wao Lissu kuwa "tusiwakatie tamaa G55 "NI kauli ya ukomavu angalau. kwa hili awaite awasikilize kwa hoja hajachelewa. Umojs wa chama chenu ni muhimu kuliko jambo lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.