Recent content by dmakundi63

  1. D

    Inaonesha wazi kabisa Serikali hii imepania kumchafua Hayati Magufuli

    Ajali zinazotekea kwa ivi karibuni takribani kila siku hazimwagi damu za watu wasio na hatia, toka serikali ya awamu ya sita iingie madarakani tumeshudia ajali ngapi utafananisha na kipindi cha magufuli. Acheni kuaminisha watu uongo juu ya magufuli na fikra zenu zilizo ndogo.
  2. D

    Mtumba nchi gani unalipa?

    Mimi pia ningependa kujua jinsi soko lilivyo kwa dar, ninataka kufanya biashara ya viatu vya mtumba, Msaada wenu ndugu zangu.
Back
Top Bottom