abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habari wadau wa JamiForums, poleni na majukumu pia poleni kwa ugumu wa maisha na mfumuko wa Bei mama anaupiga mwingi naomba mjitokeze kwa wingi tukaangalie royotua
Turudi kwenye Mada
Hii serikali iliopo madarakani Sasa inaonyesha wazi kabisa kuwa wanafanya kila jambo kumchafua Magufuli ndio maana pamekuwa na watu wengi wanajitokeza na kumuongelea Vibaya Hayati ili tu kuwafurahisha viongozi wa sasa
Pia napenda kuwapongeza wote mnaodumbuliwa na unafiki wa kusema Magufuli alikuwa Rais mbaya ambae alisababisha maisha ya mtanzania kuwa magumu na wakati huo huo mnamdifia Mama anaupia mwingi
Hi Peter
Pia wale vijana wasomi mlio kua kila siku mnamwota Hayat Magufuli Rais wa hovyo endeleen kuota joto la jiwe Mungu awabariki maisha yanavyo zid kwenda mtatubu tu na kumlilia hayat
Pia ombeni Sana corona isirud kwa kas mana mtaonja ile ladha ya lock down mlio kua mnaililia kila siku
Wanafki wote mnao sumbuliwa na ukwel polen endeleeni kula tambi za elf 2 mbil 2a mzee ziliuzwa buku
Turudi kwenye Mada
Hii serikali iliopo madarakani Sasa inaonyesha wazi kabisa kuwa wanafanya kila jambo kumchafua Magufuli ndio maana pamekuwa na watu wengi wanajitokeza na kumuongelea Vibaya Hayati ili tu kuwafurahisha viongozi wa sasa
Pia napenda kuwapongeza wote mnaodumbuliwa na unafiki wa kusema Magufuli alikuwa Rais mbaya ambae alisababisha maisha ya mtanzania kuwa magumu na wakati huo huo mnamdifia Mama anaupia mwingi
Hi Peter
Pia wale vijana wasomi mlio kua kila siku mnamwota Hayat Magufuli Rais wa hovyo endeleen kuota joto la jiwe Mungu awabariki maisha yanavyo zid kwenda mtatubu tu na kumlilia hayat
Pia ombeni Sana corona isirud kwa kas mana mtaonja ile ladha ya lock down mlio kua mnaililia kila siku
Wanafki wote mnao sumbuliwa na ukwel polen endeleeni kula tambi za elf 2 mbil 2a mzee ziliuzwa buku