Una uhakika kama kwel walitumia hayo masaa 13???? Ndan ya masaa yote hayo walishindwa hata kuomba msaada wa kuongezewa nguvu?????? Hata Air forces???? Hata siku moja usitegemee atakuja mtu akwambie tumepigwa, ila atakwambia tumepigana ila tumezidiwa. Je ikiwa kwel yalitumika hayo masaa 13...
Mkuu pamoja na kwamba wapo wanaotoa makosa katika hili darasa lako, lkn Mimi binafsi nimependa sana kwan pamoja na kuwa Mimi nafanya kazi zinazoendana na hili darasa lkn kuna mambo mengi sana nlikuwa siyajui kwakwel. Asante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.