Jose Mourinho jana alipoteza mechi ya pili mfululizo katika mechi 3 …Ni mara ya kwanza kwa Jose kufungwa 3-0 nyumbani katika Maisha yake….Hii inaongeza hali ya sintofahamu ndani ya kikosi cha Manchester United haswa baada ya kuibuka kwa habari kuwa Jose ana tatizo na Paul Pogba japo Jose...
Katika mechi mbili za mwanzo za msimu huu wa 2018/2019 za Arsenal kuna kijana wa Unai Emery alinivutia sana…Anaitwa Matteo Guendouzi…Kijana mdogo wa miaka 19 kutoka timu ya league 2 ya Lorient huko France
Wakati nilipo mwangalia pre season niliamini Matteo hatoweza kuingia moja kwa katika...
Alhamisi 6 ya mwezi MAY mwaka 2004 magazeti mengi ya ulaya yaliandika kuwa Jose Mourinho ameiambia Fc Porto kuwa ataondoka baada ya fainali ya UEFA champions league mwaka 2004. Baada ya kuifunga 3-0 monaco kwenye fainali iliyopigwa arena Auf Schalke Jose aliondoka Porto
Jose aliwahi kusema kama...
Miaka 22 iliyopita profesa kutoka ufaransa aliwasisli London kuwa manager wa moja ya timu kubwa London..Ilikuwa september 1996 ambapo Arsenal ilimtangaza Wenger kuwa kocha wao na alianza kazi 1 october 1996 ..Nilikuwepo duniani japo sikuwa na uwezo wa kutambua yaliyokuwa yanaendelea..
Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.