Hata kipusa maana yake hakuifahamu, na ni neno la kiswahili kama angejua asingetumia, maana ya KIPUSA ni msichana mrembo mdogodogo...huyu jamaa sijui hana wahakiki??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa anatafuta pa kutokea, kipindi hiki hamna kiki za kisiasa, ukion umerusha jiwe sehemu n kelele zikasikika ujue limempata mtu. Hana jipya, hajui maana ya State Sovereignty, anajiita msomi wa mashaka, Raisi apige kazi tuu, huyu ni "Sisimizi katika kundi la Tembo" hawezi onekana lah! Si...
Tunapiga kelele tu humu ndani unadhani kwa kumuita wanalinda maslahi ya wananchi ama maslahi yao binafsi.Tuangalie mbali kidogo swala la madawa ya kulevya nahisi linaenda kuwagusa wengi walio ndani na wanahisi kwa kutajwa kwao itakuwa si feedback nzuri kwa wananchi wa majimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.