Mh jaman kwani kwenye JAHAZI kibonde anaingia peke yake?kama alikuwa peke yake na akaisadia serikali bila kusikiliza hoja za wananchi unacholalamikia ni sawa ila kama kulikuwa na mtangazaji mwingine alikuwa na mlengo tofauti na Kibonde hapo yupo sahihi labda kidogo kusema wapuuzi ndio mi naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.