aya bhana poleni kwa kuexcess 21 billion kwa mambo yasiyokuwa na maana badala mngejenga barabara na miundombinu mengine kama zahanati na mahospitali kwa vifo vya akina mama na watoto vimeongezea hamuoni kwamba nchi ina rasilimali nyingi lakini masikini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.