Inasikitisha kuona watoto wanazidi kufeli siku hadi siku na serikali haioneshi jitihada zozote za kujinasua katika janga la kuwa na waliofeli wengi, ninasikitika sana kwa maana wasomi tulio nao ndo hao wanazeeka na tunaowategemea wanafeli mpaka kero, serikali yetu lini mtaamka na kuona sekta ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.