Wakuu kwema,
Sijawahi kumiliki ndinga ila nimejichanga nataka nianze na starlet glanza wenye kuijua gari hii wanisaidie uzuri na changamoto zake tafadhar.
Wakuu natumaini mpo flesh...naomba kusaidiwa simu yangu ya microsoft lumia kamera haifanyi kazi kabisa nikiifungua inaload alafu inarud kwenye menu tatizo limeanza baada ya kuianzisha simu upya(hard reset)mwenye kujua anisaidie
MIMI NI MWL PATRICK MCHUMA CHACHA MWENYE CHECK NO 111246633 NA TSD NO C.9686.
NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE KITUO CHA KAZI (SHULE YA MSINGI) AJE MKOA WA MARA-RORYA ME NIJE KAHAMA, MWENYE UHITAJI TUWASILIANE
-0757406398
-0787473087
Wakuu wazima?
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kuwashwa mwili hasa sehemu za mapaja, tumbo, mgongo na mikononi. Nikipakuna panakuwa kama nimetembelewa na mdudu.
Nilienda hosp wakasema allergy wakanipa dawa nikatumia sioni kama zinasaidia nimepima minyoo wapi.
Napata shida sana mwenye kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.