Mwenge wa uhuru hua unazunguka kila wilaya Tanzania bara, je mwenge hua unavuka na kuelekea wilaya za visiwani kama vile wilaya ya Ukerewe ambayo inabidi uifikie kwa kuvuka zaid ya km20 majini? Na kisiwa cha Mafia.
Naomba kufahamishwa kama mwenge hua unafika maeneo hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.