Sijaona kosa lako popote, kama ulishajishusa ukaomba radhi, na mlishakaa kikao kwa kosa la kumalizia hasira kwa dogo, kwa upande wako huna kinyongo songa mbele, jitahidi tu hudhuria sherehe ya mwisho ya Mzee ikiwa atatangulia, mengine ishi wewe, na wanaokutaka songa mbele timua vumbi haswaa