Recent content by divanology

  1. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    kila mmoja yupo sawa kwa vile anavolitazama na kulichambua jambo
  2. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    nayaamini mawazo yangu pamoja na fikra zagu kuwa zipo sahihi kwa 100% so kama we unaona kunashida ni mawazo yako pia unayoyaamin so mi siwezi kukupinga
  3. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    damn hapo umenena kaka mm hapa nnapoandika hii mambo kwa sasa nipo hom likizo nnasiku kama sio tano basi ni nne sijaliona jua linafananaje kila kitu namaliza ndani, pia siwapendi wanyama maana wananizuru ata harufu tu ila nature hohohohoo men ni kitu kinanivutia sana na mala kadhaa nimekuwa...
  4. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    sio kwamba naogopa hujaelewa apo always huwa na tabia ya kuwachoka watu mapema sana na sipendi kuchangamana nao maana najua watajua madhaifu yangu jambo ambalo sipendi litokee kujalibu kum impress yule dem uwezekano ulikuwepo lakin ilifika hatua nkawa najiuliza wa kazi gan anafaida gan kwangu ...
  5. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    mm ni padre kaka japokuwa sio mroma wala muumin wa hiyo dini
  6. divanology

    Tafsiri ya usemi "Wanaume wa Dar"

    unakula wali kwa kijiko ujue wewe ni mwanaume wa Dar. kweli we nawe maamuma
  7. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    MAWAZO YANGU Katika alakati ambazo tumekuwa tukiziishi alakati za ndoa au kuishi na mwanamke ndani sjawai kuona kama zinafaid yoyote ile katika maisha ndoa ni kitu cha kupoteza muda tu na kutimiza matamanio ya mwenza unawezaje kuishi na mwanamke ndani kwa miaka nenda ludi wakati sio ndugu...
  8. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    huwa wanaonesha kujalibu kujali kuhusu mm lakini wanashindwa kuendana na matakwa yangu pia wananishindwa maana mm huwa naongeo mala moja tu na sijawai mbembeleza mtu kiufupi siko romantic apokuwa kunamda nawish npatemtu lakin huwa pia nawaza kama kuongea na mtu kw mda mfupi namchoka vip kuhusu...
  9. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    hivi hata hao madem huwa mnawapataje? nimesoma majarida na nakala mbalimbali juu ya kuanzisha mahusiano na huwa najalibu lakini mala zote nimekuwa nakwama, Niliwai kujalibu mdada mmoja tulisoma wote O lever kipindi hicho tukiwa kwenye majadiliano ya vikundi darasani alikuwa anapenda kuntania...
  10. divanology

    DC Mtatiro: Marufuku kufanya Sherehe za darasa la saba, fedha za Sherehe wazitumie kuwasomesha wasiwe mzigo kwa Taifa

    SIDE A yupo sawa kilealichokisema kutokana na ubovu wa elimu ya msingi hasa shule za selikali mabazo wanafunzi wanamaliza darasa la saba hata kusoma tatizo lakin wanafaulu na kuigia secondary hiyo ameona kuwa hayo mahafali watafanya kidato cha nne SIDE B hayuko sawaa kwa sababu watoto...
  11. divanology

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    sijui mm nipo wapi nijuzeni wataalam maana mm kwanza kuna majiran zangu nakaa nao uswahilini nymba ziko ero distance lakin hawaijui hata sauti yangu inaskikaje mtu akiniongelelesha jambo kaama story mala yingi huwa naitikia kwa kichwa tu sipendi kuongea sana na kiukweli huwa nnamajibu machafu...
  12. divanology

    Natengeneza Logo za Makampuni na binafsi

    kwa uwezo uliouonesha wa kutubandikia bango kisha ukaliita logo inaonesha wazi kunawalakini katika kazi zako mimi nikushauli tu ndugu yangu jipe hata miezi 6 ya kufa na kupona kujifunza kutengeneza logo tu alafu ukijiona umekwiva ludi kutazama hichi kituko chako apa unachokiita logo ya...
  13. divanology

    Kabila la wasukuma

    makufuri tena ndani bandiko lishakosa ladha
Back
Top Bottom