Recent content by Diva P

  1. D

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Hajibu na meli ya bagamoyo ikinunuliwa juzi imeenda wapi na ajibu kuhusu ripoti ya CAG inayoonyesha alitoa ripoti ya uongo bungeni, ajibu kuhusu kashfa ya kugawa nyumba za serikali kwa mahawala zake n.k
  2. D

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Kwahyo unahisi swala la ufisadi ni rahisi? Kama raisi mbona magufuli anamsifia chenge? Halafu anajifanya atafungua mahakama cjui atamfunga nani sasa? Ufisadi kwa Tanzania ni swala gumu na linalohitaji weredi wa hali ya juu?
  3. D

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Anayejifanya kuvunjwa moyo ni muongo, mnafiki na aliyezoea kuongopewa. Kuongea sana c kutenda ndo maana hata Yesu alipokuwa anaulizwa maswali na Pilato kuna ambayo hakujajibu, kujibu maswali kwa kukurupuka na kuongea sana ni uongo usio na mashiko
  4. D

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Watanzania cjui tuna matatizo gani aisee, sasa nyie mlitaka ajibu sawa kama wenu, kila mmoja ana mikakati yake juu ya kupambana na ufisadi, wengne watafungua mahakama huo c uongo kabisa kwan mahakama zilizopo hazina mamlaka ya kushughulikia mafisadi? Sometym tuache ushabiki tuangalie fact...
  5. D

    Harufu ya utapeli

    Kaka hao watu ni matapeli kabisaaa, kimbia mbiooo kama watu wanavyoikimbia ccm kabla wajakuliza oooh
  6. D

    Nimemkuta mke wangu akiwa faragha na kijana wa kazi

    Haaaaaah nimecheka sana dduhhh, mwenzio anaomba ushauri wewe unafanya masihara:teeth:
  7. D

    Kuitwa kazini Utumishi, Oktoba 2015

    Haaaaaaah pole mwaya mwenyewe sijaelewa kabisa kilichofanyika, post yangu walitangaza nafasi 39 na tukafanya interview watu 100+ lakini wamechukua watu 10 tu duuh changamoto, by da way tukaze buti tu
  8. D

    Kuitwa kazini Utumishi, Oktoba 2015

    Mbona hayo majina ya watu kuitwa kazini hayaonekani jamani, mwenye access atupie hapa basi. Siku njema wote
Back
Top Bottom