Hukuona watu walivyopigwaa risasi? Hukuona watu walivyouliwa wakiwa majumbani mwao..kuna mambo mengine unatakiwa unyamaze kimyaa kama unaogopa kupoteza hadhi ya uchawa..mbona machawa wengine wamenyamaza baada ya kuona ukatili mkubwa namna ile? Uhai wa mtu ni wa muhimu kuliko kitu chochote kile...
Mbona sioni sababu ya kumtusi huyoo mwamba.. amekuuliza swali zuri sana na la kimkakati..Yenu watu weusi mliotengeza hata kushindana na hiyo iko wapi? Mtu mweusi kazi yake kutumia tu vya watu..wenyewe hata kujenga choo tu hadi msubiri mjapani awape pesa za ujenzi kupitia JICA
Warusi wenzangu wa kwa mchambawima vipi? Bwana kipanya anatutia nyongo haswaaaa...certainly the kursk operation continues to weakening the russians all around the world..Hey Mr Putin ..put in the nuke on kiev land
Ni ngumu sana kwa nchi kama Tz kuendelea ikiwa na waislam.. wao hakuna wanachojua zaidi ya kuridhika na mtawala akiwa dini yao. Mengine yote hawayaoni. Huu upuuzi huwez kuona kwa wakristo, hili limedhihirila kipindi cha magufuli.. aliluwa akipogwaa spana hata na kanisa lake. Ni masikitiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.