Ndg zangu,watanzania wenzangu,vijana wasiokuwa na ajira,kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha kuangalia fursa.uchaguzi ni fursa kwa anayejua maana ya fursa.chagua kundi kati ya makundi ya wagombea kwani yote yana pesa ingia ndani.T-shirt xitakuwa hewani,vipeperushi nk.badala ya kuzozana bila tija...
Ndg zangu,watanzania wenzangu,vijana wasiokuwa na ajira,kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha kuangalia fursa.uchaguzi ni fursa kwa anayejua maana ya fursa.chagua kundi kati ya makundi ya wagombea kwani yote yana pesa ingia ndani.T-shirt xitakuwa hewani,vipeperushi nk.badala ya kuzozana bila tija...
Wassira na Anna Kilango hawakuwa na fadhila nyingine toka kwa rais muda huu iliobaki kwa sababu walikuwa msaada mkubwa kwa rais,chama,kumaliza malumbano makali yaliyotaka kuingiza nchi kwenye matatizo makubwa.ikumbukwe watu Hawa wawili walifanya kazi kubwa sana ktk kamati iliyoundwa na spika...
Mr bashiki ujumbe umeuandika kwa jazba pia kiushabiki.Tibaijuka amekuwa anaweweseka tangu agundulike ameiba hela za umma.nakuhakikishia leo Prof Tibaijuka ni mlafi na hana maadili hata kidogo.kama yeye anaamini pesa alizopata ni halali yake kwa nini matako yanamuwasha hatulii sehemu...
Rais amesema kwa kinywa chake kuwa kuwa mgogoro wa Tanesco na Iptl ulikuwa kituo cha usuluhishi migogoro kule Uingereza.msuluhishi yule aliwashauri wakae wachambue na kufanya malinganisho ya madai yote then warudishe taarifa kwa msuluhishi,hilo halijafanyika.pili kituo kile au mahakama hiyo...
Ndugu zangu.mimi ni mgeni sana hapa JF naombeni niwasalimie.kipindi hiki ni kigumu sana kwangu.nimekuwa kama nimechanganyikiwa kupima uwezo wa rais kutawala nchi.uwajibikaji kwa kiongozi yyte mwadilifu hautakiwi kuambiwa.jambo au kashfa inapokugusa kiroho safi kaa pembeni upishe uchunguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.