Wakati naanza biashara yangu halali,nilimtanguliza Mungu mbele kwamba yeye ni kila kitu na kuwa mtiifu kwa kazi yangu na kwa wateja wangu katika yafuatayo:
1.kuwahi sehemu ya kazi yangu kwa ajili ya lengo moja tu kuwahudumia wateja.
2.kulinda kauli zangu ambayo itawakwaza wengine na kuathiri...
WEWE BURE KABISA TATIZO HAUFUATILII AU UNAPOTOSHA KWA MAKUSUDI,NAOMBA NIKUKUMBUSHE HAKUNA NYONGEZA YA MSHAHARA ILA NI PUNGUZO LA MAKATO YA KODI {PAYE} UMENISOMA HAPO?
ELIMU YA TZ INAENDESHWA KWA KUKOMOANA TU,TUJIFUNZE KWENYE VYUO VYA WENZETU AMBAPO KUPATA DEGREE SIYO ISSUE KUBWA LAKINI IWE NA MSAADA KWAKO NA KWA JAMII YAKO TOFAUTI NA SISI...
Kamati kuu,Halmashauri kuu vya maliza vikao vyao subira ni kesho,kaa mkao wa kuangalia TBC,1TV,STAR TV n.k
Mwendo wa serikali utaenda sambamba na mwendo wa chama.Sijui wale waliobaki ccm watachukua hatua gani,muhimu wakiri makosa yao waadhibiwe kazi iendelee!!!!!!!!!!!!!!!!!.
DODOMA KAZI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.