Wewe unacheza kweli. sasa vijana mpaka hizo pesa ziwafikie wajiunge na useremala wahitimu watengeneze madawati ya kutosha shule zote zenye uhaba wa madawati unadhani ni leo? muda wote huu, wanafunzi wanakaa juu ya mende au? shule zifungwe na zifunguliwe za mafundi seremala kwanza? Acha hizo wewe.
Jamani wana JF NAOMBA MSAADA
Natarajia kuoa mnamo mwezi wa Tisa. Naombeni michango yenu ndugu zangu, Baba na Mama zangu, Natafuta milion moja kwa ajiri ya kulipia mahali uko Iringa Uheheni. Naomba michango yenu ndugu zangu wapendwa na Mungu atawaongezeapale mtakapo toa
Nawaombea mafanikio mema...
Wewe kichwa chako empty . Mali za wazanzibar ni mali ya watanganyika ndo maana tukaungana. Kisiwa kikijaa maji one day utakuja kimbilia bara tena kwangu na utapata msaada, acha kujitanganya wewe
Hapana siyo hicho tu sema hapo kuna lugha gongana kati ya mtoa swali na mtoa jibu.
huyu kauliza kuhusu wanafunzi wanao kaa chini wakati wa vipindi akimaanisha awana madawati ama siti za kukalia. Lakini mwenye majibu kasema serikali imetenga milion 228.5 kushughuikia suala hilo. Lipi? hajui...
Hii balaa sana! Kama serikali inaagiza sukari na mamlaka anapewa Mhindi kuuza hapa kweli kazi tu. Maana mpaka hapo sisi watanzania hatuaminiani tena anayeaminiwa ni mhindi toka India. anyway Hiyo sukari ilikuwa kiasi gani. Maana wengi sana ,niseme Tanzania nzima tunatumia sukari sasa kama...
Jamani naomba tuheshimiane japo kidogo. Kuwa watu wa bara tusiitwe MIJITU YA BARA tunajijua kuwa tumetoka bara na hapa ni kutafuta maisha tuu. Hata wewe unayesema hivyo bara utaenda hata kama mzanzibar sawa?
Naipenda zanzibar na bara pia naipenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.