Recent content by dinosour

  1. D

    Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

    mbinu za magamba hazivumiliki™™
  2. D

    Rais Kikwete: Serikali haitaanzisha Mahakama ya Kadhi

    tafadhari kama mtu anavunja katiba yetu sio wa kumchekea!
  3. D

    Rais Kikwete: Serikali haitaanzisha Mahakama ya Kadhi

    watu wanataka kuvunja katiba ya nchi tunachekea tu!!!
  4. D

    Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

    Naona magamba wanataka!!! asipate afya!!! live long gwajima.
  5. D

    Jukwaa la Wakristo Wapo KKKT Kanisa Kuu Dodoma Wanamjadili Kikwete sasa hivi

    Tupeni data. jamaaa haeleweki na huku kwetu anajadiliwa!!!
  6. D

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    kuvumiliana misingi ya binadamu.
  7. D

    ACT Wazalendo yapata viongozi Kitaifa, Anastazia Mghwira awa Mwenyekiti wa kwanza Kitaifa

    vijana wa UDSM ni wasaliti mno pia wanaongoza kwa kutoa mafisadi.
  8. D

    ACT Wazalendo yapata viongozi Kitaifa, Anastazia Mghwira awa Mwenyekiti wa kwanza Kitaifa

    kweli UDSM inatoa mafisadi na wasaliti tu!!
  9. D

    Pengo: Nimesamehe

    pengo anatakiwa atuombe msamaha sisi WAKRISTO KWANZA!!!
  10. D

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    ZITTO umeingia kwenye sinema ya ajabu!!! hivi unao washauli wako juu yq masuala ya kisiasa?? huoni kwamba mpango wa kuingoa CCM haitawezekana kwa sasa? maana umeanza kukijenga chama!! kwa hiyo kwa 2016..tutapoteza!! kwa kua vijiji viwatambue sio leo wala kesho!!!
  11. D

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    We mwenyewe sio great thinker!! kwa hiyo wanaosoma shule za kata hawafai kabisa na sio thinker!! mkikosa vya kuongea tulia unaitukana TZ hivi hivi!! kuwa makini..
  12. D

    Live updates: Uzinduzi rasmi wa ACT-wazalendo - Diamond Jubilee Hall

    Naona kuwatoa mafisadi hakupo tena!!! mmeungana na TLP enzi hizo ..ACT kuwatoa watanzania haiwezekani!! haitatokea ila tuungane kwa pamoja pasipo chuki tuwangoe MAGAMBA.
  13. D

    Zito ni jembe

    WaTZ wana mambo ya ajabu sana!!! zitto anasimamia kile watu wanahitaji!!! hatufuati chama tunafiata watu!! zitto kabwe sio kwamba yeye ndo bora kupita wengine!!!! kuna mashujaa nchii ambao wanastahiri tuzo lazini hawapewi... acheni mambo yenu!! kuwa makini..
  14. D

    Watu 15 mbaroni kwa njama za Kutaka kumtorosha Mchungaji Gwajima

    polisi msituletee mambo yenu hapo!!!! hizo propaganda za kitoto!!! ole wenu gwajima apoteeee!!! au atoloshwe!!! tunataka alindwe kabisa..ole!!ole ..
Back
Top Bottom