ZITTO umeingia kwenye sinema ya ajabu!!! hivi unao washauli wako juu yq masuala ya kisiasa??
huoni kwamba mpango wa kuingoa CCM haitawezekana kwa sasa? maana umeanza kukijenga chama!! kwa hiyo kwa 2016..tutapoteza!! kwa kua vijiji viwatambue sio leo wala kesho!!!
We mwenyewe sio great thinker!! kwa hiyo wanaosoma shule za kata hawafai kabisa na sio thinker!!
mkikosa vya kuongea tulia unaitukana TZ hivi hivi!!
kuwa makini..
Naona kuwatoa mafisadi hakupo tena!!! mmeungana na TLP enzi hizo ..ACT kuwatoa watanzania haiwezekani!! haitatokea ila tuungane kwa pamoja pasipo chuki tuwangoe MAGAMBA.
WaTZ wana mambo ya ajabu sana!!! zitto anasimamia kile watu wanahitaji!!! hatufuati chama tunafiata watu!!
zitto kabwe sio kwamba yeye ndo bora kupita wengine!!!!
kuna mashujaa nchii ambao wanastahiri tuzo lazini hawapewi...
acheni mambo yenu!! kuwa makini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.